iqna

IQNA

Sheikh Ekrima Sabri
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Sheikh Mkuu wa Kipalestina Sheikh Sabri ameelezea kuunga mkono maandamano ya al-Quds (Jeruslame) inayokaliwa kwa mabavu ambayo yameitishwa kupinga mitaala ya elimu ambayo inalazimishwa na utawala haramu wa Israel katika shule za Wapalestina.
Habari ID: 3475811    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/20